Meneja wa WCB alisema ''Wasanii wa WCB wanapenda wanawake waliowazid umri kwasababu..."
Yule Ngapepe Sukari ya vijana aka Mario ajulikane kama Shishi Baby, kwenye party ya kumkaribisha Rich Mavoko kwenye Lebo kubwa ya Muziki Tanzania WCB alionekana kagandana na kijana mdogo Rayvan mzee wa hapa kwetu huku wakipeana midenda ndimi nje bila kujali watu waliopo.
Sasa sijui ilikuwa ni furaha, pombe, mapenzi au ndio mambo ya kiki!!
Kila laheri kijana.
Sasa sijui ilikuwa ni furaha, pombe, mapenzi au ndio mambo ya kiki!!
Kila laheri kijana.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.