TAZAMA TASWIRA YA LEO STEND KUU YA MABASI UBUNGO, HALI HAIKUWA SHWARI KABISAA

stendi kuu ya mabasi Ubungo
Hali ya usafiri katika stendi kuu ya mabasi Ubungo asubuhi ya leo ilikuwa si yakuridhisha kutokana na kukosekana kwa mabasi ya kutosha na kusababisha abiria kukaa zaidi ya saa sita kupata usafiri ambapo baadhi ya abiria wamewata wamiliki vyombo vya usafiri kuongeza mabasi ya akiba ili kurahisha usafirishaji wa abiria.
Previous Post Next Post