Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney atoboa siri nzito iliyokuwa ikiindelea juu yake na kocha wa zamani wa timu hiyo Ferguson.
Rooney alipokuwa akiongea na moja ya jalida la michezo huko Uingereza alisema kuwa Ferguson ni kocha wake aliompenda sana lakini katikati yao kulikuwa na tofauti ambazo hakupenda mashabiki wake na wachezaji wa timu hiyo kuzijua. Utofauti uliwafanya mara kadhaa kutokuwa na mazungumzo mazuri lakini kilichowafanya wote kuonyesha tofauti zao ni mapenzi ya kweli juu ya klabu na hawakutaka hali hiyo koonekana kama jinsi Mourinho anavyofanya kwa wachezaji wake.