Unknown Unknown Author
Title: CHAMA CHA MICHEZO WA KUONGELEA CHAANDAA MASHINDANO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
CHAMA cha mchezo wa kuongela nchini, kimeandaa mashindano ya wazi ya kuogelea ili kupata wachezaji 20 watakaoshiriki katika michuano ya d...
Waogeleaji

CHAMA cha mchezo wa kuongela nchini, kimeandaa mashindano ya wazi ya kuogelea ili kupata wachezaji 20 watakaoshiriki katika michuano ya dunia itakayofanyika MEXICO mwakani

Mkurugenzi wa ufundi wa chama hicho, MACHELINO NGALIYOMA amesema maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top