CHAMA CHA MICHEZO WA KUONGELEA CHAANDAA MASHINDANO

Waogeleaji

CHAMA cha mchezo wa kuongela nchini, kimeandaa mashindano ya wazi ya kuogelea ili kupata wachezaji 20 watakaoshiriki katika michuano ya dunia itakayofanyika MEXICO mwakani

Mkurugenzi wa ufundi wa chama hicho, MACHELINO NGALIYOMA amesema maandalizi ya mashindano hayo yamekamilika.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post