Title: ASKARI WA JWTZ AUWAWA NA WANANCHI- MBEYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
KUTOKA MBEYA: Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo...
KUTOKA MBEYA:
Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo la tukio.
Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askari katembea na mchumba wa raia.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.