Kwa mujib wa william Mtitu Msanii wa Sinema za Comed aliekuwa anatambulika kwa jina la Sheri Magari Amefariki leo mjini morogoro kwa tatizo la Moyo. William Mtitu amesema wamesikitishwa na tukio hlo kwan marehemu alikuwa n msanii aliekuwa anafanya vizuri katika tasnia hiyo ya bongo movie.
Mazishi yanatarajia kufanyika mkoani morogoro siku ya kesho.
Lindiyetu.com inaungana na familia katika kipindi hiki kigumu cha majonzi mungu awape nguvu wanafamilia na amrehemu marehemu sheri.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.