Rapper wa Nigeria, Ice Prince kummiss Jokate Mwegelo sio issue kubwa. Issue kubwa ni rapper huyo kulitamka vizuri jina lake la utani ‘Kidoti’.
Katika video moja wapo Jokate anasikika akimuambia
Jokate na Ice Prince
Jokate yupo nchini Afrika Kusini kwenye majukumu yake kama mtangazaji wa Channel O na kuna kipindi wanashoot na Ice Prince Zamani. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Jokate amekuwa akishare picha na vipande vya video akiwa na rapper huyo wa ‘I Swear’.Katika video moja wapo Jokate anasikika akimuambia
Ice Prince: Why did I surprise you?
Jokate akajibu: You just surprised me Ice Prince, why did you have to surprise me like that.
Naye Ice akajibu: Cause I miss you, It’s has been a long time. I miss you Kidoti.. na kilichofuata ni kicheko tu.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.