VIDEO ANGALIA JINSI POLISI WALIVYO WASHAMBULIA WAANDISHI WA HABARI

Mbowe
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwadhibiti wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam jana wakati Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akihojiwa na polisi.
Jeshi la Polisi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana walitunishiana misuli na kusababisha kivumbi katika miji ya Dodoma na Dar es Salaam.
Kivumbi hicho kilitokana na Jeshi la Polisi kutaka kuzuia maandamano yaliyotangazwa na Chadema mikoa yote nchini bila kikomo kwa lengo la kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK).
CHIKI VIDEO HAPA CHINI

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post