Title: VIDEO ANGALIA JINSI POLISI WALIVYO WASHAMBULIA WAANDISHI WA HABARI
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwadhibiti wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Makao Makuu ya Polisi...
Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwadhibiti wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam jana wakati Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akihojiwa na polisi. Jeshi la Polisi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana walitunishiana misuli na kusababisha kivumbi katika miji ya Dodoma na Dar es Salaam.
Kivumbi hicho kilitokana na Jeshi la Polisi kutaka kuzuia maandamano yaliyotangazwa na Chadema mikoa yote nchini bila kikomo kwa lengo la kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK). CHIKI VIDEO HAPA CHINI
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.