Mohamedi KemKem (Kushoto) akiwa na swahiba wake Ndg Muhibu Namulya ambaye ni Mtangazaji mwenzake, Safari Radio Mtwara wakati wa Big Party yake
Mohamemdi kemkem anamuoa Miss Mtwara wa Mwaka 2012 Alice Adam na Ndoa inatarajia Kufungwa Tarehe 13/6/2014 Mkoani Mwanza na Reception Itafanyika tarehe 21/6/2014 Mkoani Mtwara katika ukumbi wa Makonde Beach.
Hizi ni Baadhi ya Picha za shamra shamra katika Sherehe hiyo::
Mohamedi Kem Kem (kushoto) akiingia ukumbini pomoja na Mpambe wake Muhibu Namulya
Mohamedi KemKem akifurahia Jambo Kutoka kwa Mwenyekiti wa maandalizi wa Shughuli hiyo
WanaKikundi Wenzake wakienda Kumpa Mkono wa Pongezi
Hapo Chacha Muda wa Kuserebuka ulifika na yeye akaliongoza Jahazi hilo hakika Ilipendeza sana.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.