Mbunge wa Kigoma Kaskazini mhe. Zitto Kabwe akiwa na Mama yake Bi. Shida Salum, Enzi za Uhai wake. Mhe. Zitto, kupitia mtandao wa Twitter ameandika kuwa Mama amefariki Dunia Leo.
Hii ni May 25 2014 wakati Rais Kikwete alipomtembelea mama Zitto ICU kwenye hospitali ya AMI Dar es salaam. (picha ilipigwa na Freddy Maro)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.