Title: SENETA WA KENYA AVAA NGUO HII NA KUWAACHA VIONGOZI WAKIMSHANGAA??
Author: Unknown
Rating 5 of 5
Des:
Senator Mike Sonko hivi karibuni ameweshangaza rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na makamu wake Ruto kwa kuvalia vazi ambalo sio sahihi kwenye...
Senator Mike Sonko hivi karibuni ameweshangaza rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na makamu wake Ruto kwa kuvalia vazi ambalo sio sahihi kwenye shughuli kama iliyokuwa ikiendelea na kuonekana tofauti na kila kiongozi aliyekuwepo eneo hilo.
Uhuru na Ruto walishindwa kabisa kuzuia mshangao wao na kuanza kuongelea vazi hilo huku wakicheka kama vile ni kituko kuwa kiongozi kama Sonko amevaa jeans iliyochanika chanika huku juu akiwa amevalia suti na tai nzuri tu.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.