Leo Ray C Foundation tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!nimeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala....nimefurahi sana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa......
Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......Ray C Foundation Pamoja inawezekana.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.