Ukiwa kama Mtanzania Unatakiwa Kikisapoti cha Nyumbani hebu tumia Dakika chache tu kuwapigia Watanzania waliopo Kwenye List za Kupigiwa Kura katika Tuzo za Afrimma ili Kuiletea Nchi yetu Heshima Kwa Mwaka huu kwa KuBofya link hapo Chini. Mimi Tayai Nimesha fanya yangu Je wewe unasubiri nini Kuwapa Sapoti wasanii, watayarishaji wa Muziki wa Nyumbani?
Kuingia Kupiga Kura Bofya Hapa
Hii ndio listi yangu niliyoipigia Kura:
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.