Mwalimu Pasilida Mandari anayewanoa warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 akizungumza na warembo hao wakati wa mazoezi.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi tofautitofauti wakati wa mazoezi yanayoendelea eneo la Tabata Dar West Park.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa kwenye mazoezi.
Mwalimu akimwelekeza mmoja wa warembo wakati wa mazoezi
Ilifika kipindi cha kutoa burudani ilikuwa ni noma sanaaaaaa!!!!!!
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.