Mdada akichota maji kwa ajili ya matumizi nyumbani
Mkaka akichota maji hayo hayo kwa ajili ya matumizi yake
Wakazi wa eneo la Isanga jijini Mbeya wakichota maji yaliyotuama katika barabara ya eneo hilo kwa wakati tofauti kwa ajili ya matumizi mbali mbali nyumbani kwake kama alivyonaswa na Kameta yetu, hii ni hali ya hatari sana kwa maisha ya binadamu hasa kutokana na kuwepo kwa wimbi la magonjwa ya mlipuko.
Baiskeli zinapita hapo hapo.
Magari pia yanapita hapo hapo.
Picha na Fadhil Atick Globu ya Jamii, Mbeya.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.