Kundi hili la Southern Music linaundwa na Wasanii watatu kutoka Pande za Mtwara nao ni Sir Robby, Man Chomo na Dot Cadio. Nyimbo hii Imefanyika katika Studio za 20 Rec Mjini Mtwara Chini ya Producer Sully.
Waweza Bofya Play hapo kuisikiliza na Kudownload pia::