Unknown Unknown Author
Title: BREAKING NEWZ:: AJALI MBAYA YATOKEA NCHINI MSUMBIJI, WATANZANIA 7 WAHOFIWA KUFA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Majira ya Saa 11 jioni imeripotiwa kutokea ajali mbaya iliyohusisha Gari ndogo aina ya Toyota Haice...Nchini Msumbiji katika Sehemu inayo...
Breaking news
Majira ya Saa 11 jioni imeripotiwa kutokea ajali mbaya iliyohusisha Gari ndogo aina ya Toyota Haice...Nchini Msumbiji katika Sehemu inayoitwa Namanyambili.

Chanzo cha ajali hiyo Chasemakana kuwa ni Kupasuka kwa Tairi la Mbele upande wa Kushoto wa Gari hilo na Kugonga Mti uliopembezoni mwa Bara Bara. Watu 7 wahufiwa kufa na Majeruhi 5 wako hoi katika Hospitali Nchini Msumbiji. Gari likitokea Montepuez/pemba.

Watu hao walikuwa wakitokea katika machimbo wakielekea Nyumbani kwa ajili ya Mapumziko.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top