BREAKING NEWZ:: AJALI MBAYA YATOKEA NCHINI MSUMBIJI, WATANZANIA 7 WAHOFIWA KUFA

Breaking news
Majira ya Saa 11 jioni imeripotiwa kutokea ajali mbaya iliyohusisha Gari ndogo aina ya Toyota Haice...Nchini Msumbiji katika Sehemu inayoitwa Namanyambili.

Chanzo cha ajali hiyo Chasemakana kuwa ni Kupasuka kwa Tairi la Mbele upande wa Kushoto wa Gari hilo na Kugonga Mti uliopembezoni mwa Bara Bara. Watu 7 wahufiwa kufa na Majeruhi 5 wako hoi katika Hospitali Nchini Msumbiji. Gari likitokea Montepuez/pemba.

Watu hao walikuwa wakitokea katika machimbo wakielekea Nyumbani kwa ajili ya Mapumziko.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post