AUWAWA KWA KUKATWA KATWA MAPANGA

Hamis Dadi
Na Abdulaziz Lindi
Pichani ni Marehemu  Hassan Hamis Dadi akitolewa kukimbizwa hospitalini baada ya kukatwa mapanga na mtu ambae hajafahamika aliemvamia akiwa kavaa Ninja akiwa shambani kwake katika kijiji cha Liteta Tarafa ya Mingoyo Lindi.

Hamis Dadi
Mgogoro ni wa shamba la Chumvi ambalo kulikuwa na kesi ambayo ameshinda katika Mahakama kuu lenye Ekta 21.
Hamis Dadi
Awali kabla ya tukio hilo Marehemu aliwahi pia kupigwa mapanga kuhusiana na
mgogoro wa shamba hilo. Taarifa toka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI, Renatha Mzinga

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post