Unknown Unknown Author
Title: AUWAWA KWA KUKATWA KATWA MAPANGA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Na Abdulaziz Lindi Pichani ni Marehemu  Hassan Hamis Dadi akitolewa kukimbizwa hospitalini baada ya kukatwa mapanga na mtu ambae hajafah...
Hamis Dadi
Na Abdulaziz Lindi
Pichani ni Marehemu  Hassan Hamis Dadi akitolewa kukimbizwa hospitalini baada ya kukatwa mapanga na mtu ambae hajafahamika aliemvamia akiwa kavaa Ninja akiwa shambani kwake katika kijiji cha Liteta Tarafa ya Mingoyo Lindi.

Hamis Dadi
Mgogoro ni wa shamba la Chumvi ambalo kulikuwa na kesi ambayo ameshinda katika Mahakama kuu lenye Ekta 21.
Hamis Dadi
Awali kabla ya tukio hilo Marehemu aliwahi pia kupigwa mapanga kuhusiana na
mgogoro wa shamba hilo. Taarifa toka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI, Renatha Mzinga

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top