MBEYA CITY wametolewa nje ya Mashindano ya 2014 CECAFA NILE BASIN CUP baada kufungwa na Victoria University 1-0 kwa Penati kwenye Mechi ya Robo Fainali huko Khartoum Stadium hii Leo.
Penati hiyo ilitolewa Dakika ya 74 na pia Mbeya City kumaliza Mtu 10 baada ya Kibopile Hamad kutolewa kwa Kadi Nyekundu.
Victoria University ya Uganda watacheza na Mshindi wa Ahly Shandi Vs Malakia kwenye Nusu Fainali.
Jumatano Juni 2
[20]. AFC Leopards Vs AcademieTchite
[21]. Victoria University Vs Mshindi 19
Jumatano Juni 4
Mshindi wa Tatu
[22]. Aliefungwa 20 Vs Aliefungwa 21
FAINALI
[23] Mshindi 20 Vs Mshindi 21
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.