VIDEO::LIL'WAYNE AMJIA JUU MMILIKI WA TIMU YA KIKAPU YA LA CLIPPERS BAADA YA KAULIYAKE YA KIBAGUZI KWA WATU WEUSI

Lil Wayne
Baada ya boss wa timu maarufu ya kikapu maarufu ya LA Clippers kusema, hapendi kuona ngozi nyeusi uwanjani wakati timu yake ikicheza, imepokelewa na watu mbali mbali maarufu duniani kwa hasira sana, akiwemo Raisi wa Marekani Barack Obama, kwa kitendo hicho Boss huyo, anaendelea kupata majibu ya hasira na matusi kutoka kwa watu mbalimbali duniani, si tu kwa watu weusi, imeonekana kutopendezwa hata na baaadhi ya wazungu pande mbalimbali za dunia, hii mpya ya lil’wayne akimuwakia Boss huyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post