''Mulky Abdul'' Bongo Movies Actress
Dada huyu amekuwa kivutio kikubwa sana wakati wa shooting ya Filamu mpya ya Mtunisy iitwayo TUGAWANE MAUMIVU hii ni baada ya TOM BOY,
Kwa mujibu wa baadhi ya watu walioshuhudia baadhi ya vipande Location wakati dada huyu alipokuwa akifanya yake waliiambia blog hii kwamba filamu hiyo huwenda ikaja kuwa habari ya mjini kupitia vipande alivyovicheza Binti huyu na Director Mtunisy,
Mashabiki hao walizidi kusisitiza kwamba mrembo huyo mbali na uzuri aliokuwa nao alicheza kwa hisia sana.
''Mulky Abdul'' katika pooooozzzz.. Apan chezeaaaaa..!''Mulky Abdul'' kulia akifuatiwa na Kabuti Onyango The best Camera man in Tz na aliovaa nguo za rangi ya Chungwa aliyeinua mguu juu ni Mtunisy hapo wakiwa Location.
Wadau kaeni mkao wa kula TUGAWANE MAUMIVU ipo mbioni kuingia madukaniiiiiiiiiiiiiiiiii...!!!
**************************
UKIWA MKOANI MTWARA HUNA HAJA YA KUHANGAIKA NA SUALA LA MALAZI NA CHAKULA NAF BEACH HOTEL NDIO JIBU LAKO
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.