HUU NDIO UJUMBE WA DIAMOND PLATNUMZ WA KUSISIMUA ALIOMUANDIKIA MADEE

10251451_379012242238325_1980205357_n
Ikiwa leo ndio kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwake raisi wa Manzese, Madee. Tarehe 25 mwezi kama huu, wasanii mbali mbali wametokea kumtakia maisha marefu na wengine kumpongeza kwa njia mbali mbali, ila kwa hii ya Diamond Platnum ni kali kuliko yote, Diamond ameamua kushusha ya kwake yamoyoni kupitia account yake ya instagram, katika kukubali juhudi zake, kama msanii mkongwe na kumshukuru kwa yote.
f9a90b92ca9111e382ce0002c999ad18_8
“Naamini moja ya kitu kinachokufanya uzidi kufika mbali na kufanikiwa zaidi ni jinsi ulivyo na upendo kwa wasanii wote.. hususan upcoming, Nimenza kukuskia kabla sjui lini nami ntakuwa flani hadi leo kufikia hapa lakini skuzote umekuwa ukinisuport tangu naanza hadi sasa na kunielekeza katika kazi zangu mbalimbali… Nakuheshim sana Bro! Happy birthday.. Mungu akupe maisha maref yenye amani na mafanikia tele… Eta Tudele!” alimalizia Diamond Platnumz
>>Vibe.co.tz

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post