Baada ya kimya cha muda mrefu, aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa – The Chase, @FezaKessy , anatarajia kuachia ngoma mpya iitwayo #My Papa.
Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Nahreel. Hili ni kava la single hiyo.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.