Unknown Unknown Author
Title: BILL GATES AMEJIONDOA UENYEKITI WA MICROSOFT, HUYU NDIO CEO MPYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mmiliki wa Microsoft  Bill Gates amejiondoa kama mwenyekiti wa kampuni yake ya Microsoft na kushika wadhifa mpya kama mshauri wa teknolojia....

Mmiliki wa Microsoft  Bill Gates amejiondoa kama mwenyekiti wa kampuni yake ya Microsoft na kushika wadhifa mpya kama mshauri wa teknolojia. Satya Nadella ametajwa kuwa mwenyekiti mtendaji mkuu wa kampuni hiyo.clip_image002Tangazo la CEO mpya limekuja baada ya aliyekuwepo Steve Ballmer kutangaza mwaka jana nia yake ya kustafu.

Nadella anakuwa mwenyekiti mtendaji wa tatu katika historia ya miaka 39 ya Microsoft, baada ya mwanzilishi mwenza Bill Gates na Steve Ballmer.

Microsoft imesema John Thompson atachukua nafasi ya uenyekiti iliyoachwa na Bill Gates.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top