SHILOLE BAADA YA KUKOMAA NA JIJI, SASA ANAKUJA NA “CHUNA BUZI”

Inaelekea Shilole anataka kufundisha wasichana wa mjini jinsi ya kuchuna mabuzi baada ya kuwaelekeza jinsi ya ‘Kukomaa na Jiji’. Muimbaji huyo wa mduara ataachia wimbo alioupa jina ‘Chuna Buzi’clip_image001Mwanadada huyo ambaye alidai kuwa mwaka jana aliingiza zaidi ya milioni 100 katika show zake,ameandika katika mtandao wa Instagram: Tumekomaa na jiji!! Tukapata buzi! Sasa ni mwendo wa #CHUNABUZI#

Wimbo huo wa mipasho umetayarishwa na Mazoo Records na utatoka tarehe 31.1.2014

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post