Haya sasa hii inaleta utata kwakweli Shirika kubwa na muhimu kwa jamii ya kitanzania hadi leo haijaweza kutanabainisha ni acount gani ni official na ipi ni fake, hii inaweza kuleta mkanganyiko hasa kipindi hiki kigumu cha mpito wa mgao wa umeme,
Leo katika Pitapita zangu katika Mtandao huu wa Kijamii wa twitter nikakutana na hizi tweet kutoka katika moja ya Acount hizo hapo juu ambazo kwakweli hazileti maana kama zinatolewa na shirika hili kwa wateja wake ambao wanaumizwa na mgao huu wa umeme kwa sasa..
Leo katika Pitapita zangu katika Mtandao huu wa Kijamii wa twitter nikakutana na hizi tweet kutoka katika moja ya Acount hizo hapo juu ambazo kwakweli hazileti maana kama zinatolewa na shirika hili kwa wateja wake ambao wanaumizwa na mgao huu wa umeme kwa sasa..
Hebu Jionee mwenyewe na kisha tujadiliane kwa pamoja kuhusu hili jambo.
Tags
HABARI ZA KITAIFA