IMPOTANT NOTICE: ACOUNT YA @AY Tanzania MAJANGILI WAMEIINGILIA HIVYO USIDANGANYIKE

Taarifa hii tumeipokea kutoka kwa Mwanadada Salama A. Jabir Ikitaarifu kuwa account ya Ambwene Yessaya Ya twitter yenye jina la @AY Tanzania imekuwa Hacked na Mahacker hivyo wanaomba msaada wa Pesa. Tafadhali Usidanganyike na Ujumbe huo
clip_image002

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post