Rais Kikwete akiwa na Mwenyekiti wa Makampuni ya S.S. Bakhresa, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na mkewe Mama Salma KIkwete. Kulia kwake ni Dk Abdallah Kigoda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza taarifa kuhusu kiwanda cha Azam Cola, kinachomilikiwa na kampuni ya S.S. Bakhresa Group kilichopo eneo la Mwandege, Mkuranga, mkwani Pwani mchana wa leo wakati hafla maalum ya uzinduzi wa kiwanda hicho .
Rais Kikwete alijionea shughuli nzima za uzalishaji hadi upakiaji kiwandani hapo
Rais Kikwete akitalii kiwandani hapo, akiwa ameambatana na mkewe Mama Salma
Rais Kikwete akihutubia kiwandani hapo.
Tags
HABARI ZA KITAIFA