Dillish’s getting birthday present from her father, Abdi Guyo
“Mom, Dad, me and Stephan!!” – Dillish
“Thank you all so much for the Birthday Wishes mwaaah!!”- Dillish
Baba yake huyo, Abdi Guyo, kutoka Kenya alikutana na mama yake Dillish alipokuwa Namibia alipokuwa mmoja wa wanajeshi wa Kenya waliokwenda nchini Namibia kulinda amani.
Alirudi Kenya baada ya muda wa kukaa Namibia kikazi kuisha na kumuacha mama yake Dillish mja mzito, na kupoteza naye mawasiliano miezi kadhaa baadaye.
Tags
HABARI KIMATAIFA