KULIPUKA KWA UWANJA WA NDEGE KENYA,NI UGAIDI?

clip_image001Tarehe kama ya leo 07/08 mwaka 1998, Balozi za Marekani nchini Kenya na Tanzania zililipuliwa kwa milipuko ya mabomu. Ni miaka 15 imepita sasa.

Leo, tarehe 07/08/2013, Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umekumbwa na janga kubwa la moto. Hizi ni tarehe mbili kubwa zenye historia kwa nchi ya Kenya.

Tunaungana na Wakenya kutoa pole kwa janga hili lililowakuta. Ungana nasi kutoa pole.

ANGALIA VIDEO YA MOTO ULIOLIPUKA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA LEO ASUBUHI

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post