WANAHABARI WA TANZANIA WAADHIMISHA BIRTHDAY YA NELSON MANDELA

clip_image002Afisa Habari Mkuu  wa Idara ya Habari- MAELEZO Anna Itenda  akikata keki  wakati wa  hafla fupi  ya  kuadhimisha miaka 95 ya  kuzaliwa  Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee  Nelson. Keki  hiyo  iliandaliwa na Idara ya Habari- MAELEZO.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post