HUU NDIO UJIO MPYA WA NEY BAADA YA MUZIKI GANI

clip_image002Jamaa kutoka Manzese ambaye amefanya vizuri sana na Ngoma yake ya MUZIKI GANI ambayo amemshirikisha DIAMOND, NAY WA MITEGO a.k.a TRUE BOY.
Kwa sasa ametengeneza jisongi lingine linaitwa SALAMU daah hii ngoma ni hatari sana coz jamaa kawachana watu balaa, kama ilivyo kawaida yake.
Me nimepata muda mzuri wakuisikiliza sasa wewe jipange kucheki nayo wiki hii hapa hapa, kaa mkao wa kula….

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post