Unknown Unknown Author
Title: VODAFONE WAUNDA CHAJI ZA SIMU ZILIZO NDANI YA NGUO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kampuni ya simu ya Vodafone kwa kushirikiana na chuo kikuu cha Southampton cha nchini Uingereza wamefanikiwa kutengeza chaji za simu zijulik...

clip_image001Kampuni ya simu ya Vodafone kwa kushirikiana na chuo kikuu cha Southampton cha nchini Uingereza wamefanikiwa kutengeza chaji za simu zijulikanazo kwa jina la “Power Pocket” ambazo zitamwezesha mtumiaji wa simu ya Vodafone kuchaji simu yake kwa kutumia nishati ya joto la mwili wake.

Hii teknolojia mpya itawasaidia watumia wa simu aina ya Vodafone kuchaji simu yake akiwa katika mazingira ambayo hakuna umeme.

SOURCE: DAR24

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top