Video: WEMA AKIPOROMOSHA MATUSI YA NGUONI KWA MLINZI WAKE WA NYUMBANI, HEBU JIONEE

clip_image001Msanii nyota wa Bongo movie, Wema Sepetu, leo hii amejikuta akitoa matusi ya nguoni kwa mlinzi wake baada ya kukuta gari lake likiwa limeibiwa power window na betri la gari lake kuchomolewa.

hali hiyo imetokea nyumbani kwake Kijito nyama, pale alipokuwa akijaribu kuwasha gari lake na kuondoka.

video hii inaonyesha masjirani waliposkia kelele za matusi kutoka kwa mwanadadiva huyo waliamua kupanda sehem na kuchukua video ya kilichokuwa kikiendelea kwa kujificha.Wema akimkimbiza mfanyakazi wake huku akiwa na beseni lenye majiMlinzi sa sijui alikuwa anaiwaza segerea au amechoka kwa mbio zilizokuwa zikiendelea humo ndani, au ndio zile "mungu wangu ntafanyaje mie mtoto wa watu"

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post