VIDEO: WALIMU ZAIDI YA 200 MBEYA WADAI WALIPWE MAPUNJO YA MISHAHARA

clip_image002

Walimu zaidi ya 200 wameandamana hadi katika ofisi za halmashauri ya jiji la Mbeya, wakidai walipwe mapunjo ya mishahara yao baada ya kupandishwa madaraja, fedha za nauli kwa ajili ya likizo pamoja na kupinga vitisho wanavyotolewa na maofisa wa jiji hilo wakati wanapojitokeza kudai haki zao.

Source: ITV DAIMA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post