Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki, akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini, Jacob Steven 'JB' wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na wasanii wengi nchini hii ni kwa mara ya kwanza Steps inaandaa tuzo hizi zitakazokuwa zikitolewa kila mwaka.Mzee Majuto akipokea Tuzo ya msanii bora wa uchekeshaji.Pazia la Tuzo za Steps Bongo Movie Awards likiwa wazi baada ya kufunguliwa na waziri wa Sayansi na Teknolojia Makame Mbawala.Msanii Stive Nyerere akipokea Tuzo.
CREDIT TO GPL
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.