Unknown Unknown Author
Title: STEPS YANOGESHA TUZO ZA BONGO MOVIE 2012-13
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki, akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini, Jacob Steven 'JB' w...

clip_image001Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki, akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini, Jacob Steven 'JB' wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na wasanii wengi nchini hii ni kwa mara ya kwanza Steps inaandaa tuzo hizi zitakazokuwa zikitolewa kila mwaka.Mzee Majuto akipokea Tuzo ya msanii bora wa uchekeshaji.Pazia la Tuzo za Steps Bongo Movie Awards likiwa wazi baada ya kufunguliwa na waziri wa Sayansi na Teknolojia Makame Mbawala.Msanii Stive Nyerere akipokea Tuzo.

CREDIT TO GPL

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top