KADA WA CHADEMA ASHAMBULIWA VIBAYA KWA SHOKA

clip_image002Ndg: Amos, kada wa chama cha Chadema akiwa hospitali ya Mount Meru

Ni siasa chafu na zisizovumilika, na ni dalili za CCM kushindwa kufanya kampeni majukwaani kwa sera sasa wanawashambulia wafuasi wa CHADEMA na kuwajeruhi kwa lengo la kuwapotezea uhai wao. Tumetoka hositali ya Mount Meru kumuona tukiwa na Mbunge wa Arusha Mh. Godbless Lema.

Source: Jamii forums

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post