Unknown Unknown Author
Title: KADA WA CHADEMA ASHAMBULIWA VIBAYA KWA SHOKA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ndg: Amos, kada wa chama cha Chadema akiwa hospitali ya Mount Meru Ni siasa chafu na zisizovumilika, na ni dalili za CCM kushindwa kufanya ...

clip_image002Ndg: Amos, kada wa chama cha Chadema akiwa hospitali ya Mount Meru

Ni siasa chafu na zisizovumilika, na ni dalili za CCM kushindwa kufanya kampeni majukwaani kwa sera sasa wanawashambulia wafuasi wa CHADEMA na kuwajeruhi kwa lengo la kuwapotezea uhai wao. Tumetoka hositali ya Mount Meru kumuona tukiwa na Mbunge wa Arusha Mh. Godbless Lema.

Source: Jamii forums

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top