Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiongoza msafara akitokea shina la CCM nanba 6 kuongea na wanachama katika Kijiji cha Mlangali, Ludewa leo, ambapo wapo kwenye ziara ya kikazi ya kuimarisha uhai wa chama.Nyuma yake ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye