Watanzania Ujerumani kusherekea miaka 49 ya Muungano,Mjini Kolon

Muungano_Flyer_Kisw

Watanzania Ujerumani wapemania ! kusherehekea miaka 49 ya Muungano, Mjini Kolon, Siku ya Jumamosi 27.04.2013.

Wasanii pia mnakaribishwa uwanjani ! umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) kufanya sherehe za miaka 49 ya muungano wa bara na visiwani, kama linavyoonekana tangazo hapo.

Watanzania wote na marafiki wa tanzanzania mnaoishi ndani na nje ujerumani mnakaribishwa.

"Umoja ni Nguvu ! Utengano Ni Udhaifu"

Chereko Chereko na mwenye mwana Watanzania jitokezeni kwa wingi


kwa mawasiliano zaidi at kamati.utu@googlemail.com

simu +49(0)1737363422

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post