Mbunge atumia Lugha isiyo rasmi Bungeni asema "FUCK YOU"

Mh. Peter Selukamba
Mbunge wa Kigoma Mjini Mh. Peter Selukamba (CCM) leo mchana kwenye Kikao cha Bunge, alishindwa kuzuia nafsi yake na kujikuta akitumia lugha isiyo rasmi kwenye kikao cha Bunge linaloendelea mjini Dodoma.
Mara baada ya Naibu Spika Mh. Job Ndungai kumpa nafasi ya kuchangia juu ya hoja ya sakata la Lwakatare na Ulimbomka, Mh. Selukamba alijikuta akisema “FUCK YOU”.
Hii ni mara baada ya kuzongwa na minong’ono ya baadhi ya wabunge, minong’ono ambayo ilikuja mara baada ya baadhi ya Wabunge kuona kwamba alichokuwa anakiongea Mh. Serukamba ni propaganda na marudio ya kile kile ambacho wabunge wengine walichangia.
Hebu msikilize hapo chini
SERUKAMBA by newsaddict HAPA AKIOMBA RADHI
MHESHIMIWA AKIOMBA RADHI by newsaddict

Previous Post Next Post