Tottenham imeiacha kwa pointi saba Arsenal baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ya wapinzani wa jadi wa Kaskazini mwa London kwenye Uwanja wa White Hart Lane.
Mabao mawili yaliyopatika dakika mbili kabla ya mapumziko yalitosha kumpa ushindi Andre Villas-Boas' na vijana wake.
VIKOSI...WAFUNGAJI
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Vertonghen, Assou-Ekotto, Dembele (Livermore 87), Parker, Lennon (Gallas 90), Bale, Sigurdsson, Adebayor (Defoe 66).
Benchi: Friedel, Naughton, Holtby, Carroll.
Wafungaji: Bale dk37, Lennon dk39.
Kadi za njano: Vertonghen, Adebayor, Walker.
Arsenal: Szczesny, Jenkinson (Rosicky 60), Mertesacker, Vermaelen, Monreal, Ramsey, Arteta(Podolski 77), Walcott, Wilshere, Cazorla, Giroud.
Benchi: Mannone, Koscielny, Oxlade-Chamberlain, Coquelin, Gervinho.
Mfungaji wa bao: Mertesacker dk51.
kadi ya njano: Ramsey.
Mashabiki: 36,170.
Refa: Mark Clattenburg (Tyne & Wear).
Tags
SPORTS NEWS