PPF Tower lanusurika kuteketea kwa moto,

Kikosi kazi cha zimamoto kutoka makampuni mbalimbali wakiwa kwenye sehemu ya juu ya ghorofa la PPF Tower lililopo Mtaa wa Ohayo (Ohio) eneo la Posta jijini Dar es Salaam baada ya kuwaka motoleo asubuhi, ambao chanzo chake bado hakijafahamika. Hata hivyo sehemu iliyowaka moto ni sehemu yenye mitambo mingi inayotumika kwa shughuli mbalimbali ndani ya jengo hilo.Timu iliyodhibiti moto ikiendelea kuzima kabisa moto huoKama kawaida ya matukio mengi yanayotokea jijini Dar es Salaam mashuhuda hawakosi kama unavyoona pichani huku kila mmoja akitaka kushuhudia kinachoendelea.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post