Unknown Unknown Author
Title: Jeshi la Sudan Kusini lauwa watu 10
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Umoja wa Mataifa unasema kuwa jeshi la Sudan Kusini limewapiga risasi na kuwauwa watu 10, ambao walikuwa wakiandamana kupinga kuhamishwa kwa...

Wanajeshi wa Sudan KusiniUmoja wa Mataifa unasema kuwa jeshi la Sudan Kusini limewapiga risasi na kuwauwa watu 10, ambao walikuwa wakiandamana kupinga kuhamishwa kwa makao makuu ya serikali za mitaa magharibi mwa nchi.

Afisa wa kuweka amani wa Umoja wa Mataifa huko Bahr el-Ghazal amesema watu wane waliuwawa katika mji wa Wau kwenye mapambano ya jana usiku.

Na wengine sita waliuwawa baada ya kukusanyika kulalamika juu ya mauaji ya awali.

Jeshi la Sudan Kusini limekataa kusema kitu.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top