Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, wakiwa katika kikao muda huu, makao makuu ya klabu, Jangwani. Hapa anakosekana Mwenyekiti tu, Yussuf Manji, na kikao kinaongozwa na Makamu wake, Clement Sanga kulia kabisa. Kikao hiki kinafuatia Yanga kufanya vibaya katika mechi zake mbili za awali za Ligi Kuu, 0-0 na Prisons mjini Mbeya na kufungwa 3-0 na Mtibwa Sugar. Je, nini kitatokana na kikao hiki? Endelea kufuatilia lindiyetu.blogspot.com
KIKAO CHA DHARULA YANGA BILA MANJI
Title: KIKAO CHA DHARULA YANGA BILA MANJI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, wakiwa katika kikao muda huu, makao makuu ya klabu, Jangwani. Hapa anakosekana Mwenyekiti tu, Yussu...
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.