JUMA PENZA KUZIKWA LEO

image

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mte, Juma Penza ambaye amefariki dunia, anazikwa leo saa kumi katika makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Uhuru FM kwa sasa Mkurugenzi wake ni Mikidadi Mahmoud. Mungu aiweke pema peponi roho ya Mzee Penza. Amin! Ina Lillah Waina Ilayh Raj-uuna

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post