NIJUZE NIJUZE Author
Title: BENKI YA POSTA YAKABIDHI HUNDI YA TSH MILIONI TANO KUCHANGIA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI LINDI (+PICHA)
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Mushingi, akikabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa kaimu mkuu wa Mkoa wa L...
Benki ya Posta

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Mushingi, akikabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwa kaimu mkuu wa Mkoa wa Lindi Shaibu Ndemanga kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa shule ya Sekondari Lindi.

Benki ya Posta
Mkurugenzi Mtendaji huyo amesema wao kama taasisi ya kifedha ambao wanajali kushilikiana na watanaznia wameguswa na tukio hilo la kuungua kwa moto kwa shule ya sekondari Lindi na wakaona umuhimu wa kuchangia shilingi milioni tano.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top