NIJUZE NIJUZE Author
Title: UTASTAAJABU ALICHOKIJIBU WEMA SEPETU MARA BAADA YA KUIONA KATUNI HII HAPA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Hakuna jibu zuri la jambo la mzaha kama lenye mzaha pia. Hivi karibuni gazeti moja la udaku liliwachora mastaa wa kike wenye uhusiano n...
Hakuna jibu zuri la jambo la mzaha kama lenye mzaha pia.
katuni
Hivi karibuni gazeti moja la udaku liliwachora mastaa wa kike wenye uhusiano na mastaa wa Bongo wanaowazidi umri. Mastaa hao ni pamoja na Jacqueline Wolper aliyechorwa akimnywesha uji mpenzi wa Harmonize anayeonekana akiwa amebeba mdoli.

Wengine ni Wema Sepetu akiwa amempakata Idris Sultan, Zari the Bosslady akimweka Diamond kwenye kitolori cha kuwafundishia watoto kucheza na Aunty Ezekiel akiwa amembeba mgongoni mpenzi wake Mose Iyobo.

Ni Wema pekee ndiye aliyeijibu kwa kupost picha hiyo kwenye akaunti yake na kuandika: Aliechora hii natamani tu nimuone… Nimpe mkono. Leo nimeongeza siku za kuishi wallahy…. I jus laughed too much today….. Ukisoma na dialogue ndo unakufa kabisa…. Nimeipenda hio ya Aogopa Mimi… Aogopa chacha.”

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top