Rapa Songa kutoka Tanzania amepewa tuzo ya Silver toka mdundo.com (Kenya) kwa kuweza kufikisha zaidi ya Downloads 100,000 katika mtandao wao. Huu ni mtandao wa muziki Kenya na hulipa wasanii kwa kuweka kazi zao kwenye mtandao huo.
Home
»
HABARI ZA WASANII
» SONGA APOKEA TUZO YA SILVER KWA MAUZO BORA ZAIDI KWENYE MTANDAO WA MDUNDO.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.