Wizara ya habari utamaduni na michezo imekabidhi bendera ya Taifa kwa timu ya mpira wa miguu ya wasichana chini ya ya miaka 10 ya Fc Vito malaika ya wilayani ruangwa mkoani Lindi itakayoshiriki kombe la dunia la watoto mashindano yatakayochezwa nchini Filand hivi karibuni.
Sambamba na mashindano hayo watoto hao wakiwa nchini humo watajifunza lugha, kuogelea pamoja na kuangalia vivutio mbalimbali
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.