Mmoja wa waimbaji nyota wa muziki wa dansi waliowahi kutokea hapa nchini Amina Ngaluma amefariki dunia.
Muimbaji huyo alitamba na bendi za Tam Tam na Double M Sound, amefia nchini Thailand alipokuwa akiishi kikazi kwa muda mrefu
>>Times FM
Tags
HABARI ZA KITAIFA
