Mmoja wa waimbaji nyota wa muziki wa dansi waliowahi kutokea hapa nchini Amina Ngaluma amefariki dunia.
Muimbaji huyo alitamba na bendi za Tam Tam na Double M Sound, amefia nchini Thailand alipokuwa akiishi kikazi kwa muda mrefu
>>Times FM
Fahari Ya Kusini
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.